
1.Dress Properly-Btw cause yu lady take advantage of that...on a light note though. 2.Use Proper Language and be a socialite-Unajua Tu mbogi has a wakoro wanapenda msee anabonga fitty na anaingianaa fitty Sana na wao...unaweza kuwa unawaghotea kwanza...Hata kama hawanunui we waghotee Tu...keep them vibes hot 3.Kuwa Myunique...vile Saizi biz za kahawa zimekuwa most...ndo uwin watu wako manzi change the game...eg.badala Ya kupika mandanzi...unaweza kuwa pia na nduma ama ngwashi na uziuze na bei fitty bila kuwafinya. 4.Hatuwezi epuka rumors...Kuna Hii rumor zimekuwa Ati watu wanauza kahawa na teapot Kuna vitu za juju ama Tu uchawi Wanaweka ndani...so badala ya kujaribu kuuza Tu Na teapot...tembea na thermos...now that watu most wananunua Ya thermos wakihepa hizo za teapot...so hapo unaona utabeat watu WA teapot Kabisa na utawin your castomers 5.Vile wasee hawapendi mandanzi zimesweat...so ukiamua kuuza madazi badala ya ngwashi...then hapo kwa bottom Ya ndoo weka some Unga packet wrap paper...na ndunya zako hazitasweat...alafu pia pika mandunya kubwa kubwa na pia check profit margins usijichome. 6.Target mkt yako vizuri...badala ya kufocus na mitaani ama soko na vile kuna wengi wanauza hukooo...tembea baze za veve ama gwethe...Hao majamaa watakubuyia vizuri Sana na Biz yako itajipa.sunajua Tu wengi hupenda kuzoza na kahawa Hao kando...Changamkia hizo zabe 7.Always carry a backpack..na hapo unaweza weka vitu zingine kama njugu ama sweets za watoi. 8.Epuka negative energy Ya cyber bullies.Be Yu,Chapa Hustle Kivyako!!🤩 9.Kuwa Persistent!!!NOGIVINGUP! 10.last and not least weka God mbele....Ombea Biz yako,Toa sadaka na tithe ndo God akubless na aongeze kibali kwa Biz yakooo....
HAPPY HUSTLING AND MAY YU PROSPER!!!🎊