
#10k investment is a good start up for some good business plan..kuna hii gig na inafanya fitie sana ju ya availability of comrades,naeza fungua kibandaski niuze chapo ndengu,plain,na groceries pale..This requires cheap labour na it has high profits on a 24/7 basis..comrades hula kwa kibandaski na mostly kupick stuffs za nyumba ka sukuma,cabbage,onions,tomatoes,onions,na vtu mingi hapo,hii bizz hulipa vi poa ajab kwa wale washakam across wanaeza testify
0
0
0