
Alot of business people ask why there business take long kupick up but there three things in common they don't know *First remember God the provider *Hard working man kuwa polite and humble *Everything starts from the ground to the top so lazima ukuwe patient . Kwa business kunaterms watu hawajui Kuna either kuloose ama kugain hiyo inaitwa kutake risk na wasee wengi hujuwa obviously no must kwa biz ukuwe winner not really . So msee uko pale unapiga hustle consider hizo vitu nimekuambia hapo Kama unadai kufika mbali manze mie nko kwa biz ya mtumba na nilianza venye sikuwa nadhani Hadi but sai ama cash the bag to my dreams manze 🥳🦦.
0
0
0