
#BrandAmbassadorChallenge Napitia youth clubs na bash nikiwa nimecald na brand ya mesh kuadvertise hii app Then naconnect na wasee mtaani wajue mesh ni nini na inafaida gani kwao wasee tu wasiingie mitandao mingine ambayo haiwasaidi Kuwaimarisha wala kuwainua kiuchumi Mesh is the place to be
0
0
0