
Cha muhimu kujitunza kwanza -make sure wenye wako karibu nawewe wamejitunza/kujinga na corona ndio pia ukue safe I also mentor youths thro football na pale pia tunapiga story kuhusu athari za corona Job openings kwa hustlaz wenzangu kwa my new hustle ya branding-we are ever serious concerning the pandemic."corona inaua"
#SisiNiMesh #FormNiKujengana
0
0
0