
Checki sai mtaani kuna wasee most bishara msee anaeza fanya ni most 1.tuanze na kuuza ma smokies pale Ivo mtaaa na mayai kila jioni itaweza sana ata kuanza si expeunahitaji jiko ya 3000ksh foil,makaa mayai ,manyanya, vitungu na ma sause you good to go..
0
0
0