Covid bado inauwa wasee,mayuths tujicheki Sana na corona,pia tukienda kwa mikutano za siasa maze tusizue rapsha tuskize kila msee na manifesto yake alafu kura yako ndo itaamua,ulipewa pesa urushe mawe usikubali, otherwise hii Ni time ya kuchapa works tujitoe kwa hasara ya tumeingia tangu covid ikam
0
0
0