Crb aki wewe... Me nili help jirani alikuwa beste ya sis yangu simu aki dai anataka kuregister university programs coz hana smartphone Since ni beste ya siz nikamhelp na phone kumbe alikuwa anakopa na alikuwa na details zangu Kama id since me huwithdraw doh kwa shop anafanya ya mpesa 3 months later ndo nilikujakujua nadaiwa 30k Siku izi ata fuliza sipewi Crb can mess you Dawa ya deni nikulipa
0
0
0