
First think constuct structure ndio uanze ata na kuku 10 alafu wakitaga mayai 20 minimam weka haching machine tuseme mayai 100 iyo mia ingine uza after 21 day uko na chicks 100 Remember zile kuku 10 iznaendelea kutaga mayai uza ukinunua chakula zao after 3-5 month uko na kuku wengi utafute market ya mayai Kama uta-manage kuwa na kuuk 🐔 3k per day mayai 3000 ukipata market tray moja utauza kama saa hii ni 320 but wewe utakuwa chini kiaz kama 270 per trey 3000/30 =100 trey 100270=27000 per day 2700030=810000 per month Toa 200k za chakula na dawa iyo uko sawa ama unaitaji kuandikwa

0
0
0