
Guys me na run movie shop na playstation hapa Mtito..was the the first guy kuanza hii biashara huku na nimeweza kufunza ma boys wengi wenye wakona capital kiasi vile wanaenza start the biz so far tuko four kwa hii biz na ma boy wangu wameniappriciate sana..so ni fiti msee akiwa na idle ya biz inaeza saindia ma youths mtaani awafunze...
0
0
0