
Hae Sammy hapa husker mwenzenu. Langu kwenu kama wazito au viongozi wa kesho ni;Usiwahi kata tamaa hata kidogo wala kuanza mrada wako Kisha unajia njiani nop. Rem. Ushawahi enda kununua nguo za mtushi market place watu wamejaa? Kila mtu pale Huwa anafanya bidii ili apate nguo poa, Pia Huwa Kuna wale Huwa wako kandokando wakiona vile unashika zile nguo Safi na mbaya. Bt kosa uweke Jini Ile Safi , Utaona inachukuliwa bila hata kuivaa Kisha anailipia. Same kwa Ile kazi umeanza. Ukiacha inaenda. Kenyans avoid Raha mingi, Kila kitu na muda wake. Weka Mungu Mbele tia bidii omba Mungu Kila Saa atawasikia. Mimi namshukuru yeye kabisa. Sema Amen. Yote Mtabarikiwa Chunga mapenzi ya mapema wengi wamedeath , Tumia CD kama kinga. Rem. Hizo document zote uko nazo those are just papers Cha Muhimu maisha yako. Thanks sana WANAMESH GOD BLESS U.