
Hello . Leo kitu naeza request Ni Kuna 4m huwa Zina pita mayouths . Example Kuna enye watu wanapewa doh na gava but Kuna wasee hawajui.what if each information enye Zina trend kwa mtaa yako unapost ndio at least usaidie your fellow youth . Unasema ni the location na Ni what's trending at least umepeleka youth yako na rada ya area yako .amh nimesema vibaya🙄
0
0
0