Hello members hope Kila msee anajikaza na hustle yake,mi nawathanks tu sana kwa Ile advise ama plans tunasaviana hapa kwa mesh.Natek this chance kuthanks mesh juu wameniinua sana,they bust me with some money nkaamua nkapanda viazi,,,,thanks alot mesh karibu zinakua hope mkiwa karibu ikishakua niwagawie
0
0
0