
Hello mesh family, hehehe me zile advice nime chukua hapa ni mob sana nime hamuwa kwanza nitulie ndio nika jue ni kati ya hizo advice ni gani nita hazisha ka biz kangu.aky waxee asanteni sana tena na sana 🙏🙏 guys thanks for your advice # mesh. Mesh ime kam kutu jenga
0
0
0