Hello mesh family?I'm asking for your help,any support I will appreciate. So iko ivi by this year ikianza nilichukua loan nikafugua biashara ya cosmetic apo githurai 44,so ilikuja ikakuwa sawa masiku zikisonga so ukapata nalipa my loan on time.ilifika June biz yangu ikarudi chini na ukapata nalemewa na kulipa my loan. On timeš¢ikaedelea ivo nikaaanza kuunza vitu za shop niweze kulipa iyo loan mpaka zikaisha kwa duka nikaanza kuuza za nyumba pia of which I regret itšlast month niliuza vitu nilikuwa nmebakisha nikalipa na sai this month sijalipa na sina anything naeza unza nilipe na sijalipa rent ama anything. Nimejaribu kutafuta job but since due to some reasons sikuweza kusoma vizuri kupata kazi ikakuwa ngumušsina any family support ama mtu anaeza nisaidia juu ya iyo stori waliniacha wote mpaka wenye nilikuwa naita marafiki.Please guys am asking for your help niweze kulipa iyo loan na rent atleast nikuwe na place ya kulala.Am just a 20years girl struggling with life and nafeel nimefika mwishoš.support me with anything atakama ni 10bob itasaidia pakubwa sanaš My number 0701962030 Please support me with any amount I will appreciate. š¢š„