
Hello wasee anybody mwenye anataka biz ya brand new rubber shoes na anadai connection anialert nimchapie connection sita itisha doh ...Mimi huchukua viatu direct from umoja company kilifi road but nko Mombasa hii biz inaleta waseee nisiwe mchoyo nifaidike pekeangu ....mjue msimu ya mvua inaanza na watu watavaa rubbers sana
0
0
0