
Hey guy's me naitwa Gabby from Kangemi , Nairobi ,Kenya na me hujikaza kimimi like now nafanya biz ya kuku na poultry farm bytha inanikeep busy nawadays. Sai nkona kuku tano nlibuy me mwenye nliona hii Dec nianze hii my project soon najua mesh ata share my ideas ndio si mah youth tuweke life yetu sawa juu bytha youths wanaumia Sana Mimi kusema ukweli nliumia Sana but ile dooh nlisave jooh Sai at least nauza mayai ya kienyeji 25 Bob moja na hio ndio inani boost my family but hata hizo ideas nmeget hapa kwa mesh life joh more bless guy's soon ntapost pic muone vile nko sawa but housing ndio ngori na hii ni Christmas joh unaweza lost chicken 🐔 jooh saa risk ni most Sana but ntajikaza kimimi .. shukran ukidai more ideas about poultry na chicken farm WhatsApp me 0796884616.. nkona more ideas hata Kama ni kuku tano nkonao.. thanks