Hey. Licence itakucost 3500 Health 2500 Udungwe ile dawa... Ju ya kukatwa, usiinfect watu.. Table niundie itakuwa around 2k mbao plus fundi. Pan na iko around 5k Then kamusic kiasi na tv ya ku attract daily customers.
Ukiwa na 25k uko Place. Though rent inaweza add up to around 55k
0
0
0