
Hey mesh Mimi sikua na clue nikifungua buz yangu that time.Nilikua naenda kusoma magazine hapo nikutana na jina Al! Nikalipenda na nikalipa buz yangu Babyland huwa nashangaa kwangu babies hawakosekani .Ni mfanyi kazi Ana mtoihana maid anakuja nae job hata two weeks ago nikafikiri ku change Hussle yangu niweke babasitting#namingchallange
0
0
0