
Hey Meshers,,hope mko fiti sana na mnaendelea chojo na kazi zenu,,so mm hapa hivi nlikuwa nadai usaidizi fulani,,hope you will be of great help to me guys,,"kuna huyu ma best person mwenye nampenda sana amesomea ecxavators but since then hajai pata job ya plant operator,,so is my humble request guys that kaa kuna msee anajua venye anaeza mconnectia mahali within kenya,,aniupdate kindly,,akisha pata hiyo job kuna chai kubwa kwa mwenye atasaidia,,,,,,waiting for ur response guys,,,Hata kaa uko hapa na ufanya na ecxavators ,,nadai connections please ..Tupromotiane tuomoke pamoja,.💪💪💪
0
0
0