
Hey, nilikuwa nasaka msee anaeza nipea job za online writting then luckily nikapata mzae fulani so willing, akanipea task ju nilimchocha nishai fanya...nikacopy paste alafu kutuma akaquote hizo points zangu na cites nimezitoa...akanishow Ingekua rahisi ivo , hakuna mtu angekua amesota ....then akanishow there is a group amepatiwa task ya kuwatrain so nijoin hapo ndo asinicharge huge amount ... Kwa group wakanicharge 200/- kujoin. It was legit training ilikuwa intense. Apart from hiyo training kulikuwa na additional ...posts za opportunities kadhaa za entreprenuership. Mi nikaona kusoma ni ngori nikaachana na hio online writting nikapick idea moja. Naidevelop still from different strategies kwa hio group....na for sure am atlist getting out ya ile list ya "mum nitumie fare"
Kuona hizi idea zinaeza jenga wasee mob ...nikacreate group ingine napick ideas napost kwa hii group ingine free(though najua ni wrong) but nikubad na mayouths wanaumia kutumia hizi ideas wanaweza jijenga
Mtu ako intrested kujoin hio group
https://chat.whatsapp.com/F...