Hi, Guys leo ni mrng jema ambayo ni meamua kuigia mtaa igne kuadvice hustle yagu unajua Kama binadamu twafaa kujua biznaa ikona charging mingi na changamoto pia ukiona unaeda chini kiazi maze inafaa ujiinue na kuimarketing kiasi, azin niliwabia am tilling with gas, wasee wegi ujua gas ikona marketing Sana but no biz nipenye utaiadvance kwa customers wako plz, so usiache kuadvice coz the more unaeda mtaa to mtaa the more unaadd watenja plz, nijenge na comment yako apo down tusaidiane kuuinua hustle plz
0
0
0