Hi guys..nataka nianze bizz ya kuuza manguo na nifungue boutique yangu..nafaa Niwe na capital ya how much ndo nieze kuanza.. ??? Na how can I trace the gains and losses in my bizz..??? What should I do to ensure smooth running of my bizz guys ...nielezeni wasee mm nimgeni kwa hii bizz na nataka nikianza isinikoroge guys..plz
0
0
0