Hi me ni izzoh kutoka kasarani hunter me ni broka wa kila kitu, na nikisema kila kitu i mean it. Mostly me hudeal na vitu kama simu,tvs,boda na pia ukidai nyumba pia nakutafutia. Most ya vitu zangu ni zawenyewe, tuseme ukiwa na tenje na ukona resiti na unadai doo na huna mteja sasa mimi naingilia hapo unanicall natafuta mteja nauza then napata zangu hapo simple.
0
0
0