
Hi, MESH!! ISSA apa, Aki thanks SHUJAAZ mmetuokolea Sanaa since hii covid19 ianze tumesaidika sana na staff kibao kwani na Bado mnataka mtujenge na 3k Aki nikubaya hustle sai iko tight vinoma inabidi ufunge job ukatafute means ingine yakujalizia rent but we don't give up Bado twakaza kamba tu tukishirikiana na Big support ya SHUJAAZ na kutupea mMotisha!! BIG UP MESH!!!!!!!
0
0
0