
Hi mesh,mi naitwa Henry and nilicatch idea ya kuuza cladi ka matisho printed na hoodies plus sweatpants...though nimekua na challenges kathaa like this year kwanza imekua tiat kiajab sana.Of cause biz ilizama down,nikasusia kuchukua stock zingine.Even though nimeamua kujiamsha tena but with a little aid from you,itakua swadakta sana.Niko maeneo ya ruaraka ndio yard.
0
0
0