Hi wana mesh members op mko wazimaee, mie naeza sema Mungu nimwaminifu sana,cz ukichek pic ya kwanza maali kuna handwashing station, do nliazisha bizna yangu na 5k, na mkiangalia pic hizo zingine ziko tofauti sana,afu hio kibanda nilieka afo inche niliuza ndegu,yenye nlikuwa nimelima nyumbani kwetu ,bt aikukuwa vizuri vile, bt zenye nilitoa shambani,niliuza 3k,afu nikaazisha io kibada,saa ii nanunua ata stock ya 10k ,kwa hio kibada ,afu kwa duka from 5k to stock ya 20k,, usiwqhi kufa moyo katika hii safari ya ku hustle,bt inategemea na bidii yako.
0
0
0