
Hii risto kweli imeniamsha bado, nilikuwa kwenye lepe la usingizi wa covid 19 but for now,, Niko ridho kabisa. As you know,, hii situation ya this time imekuwa so hard, in our life, especially,, ka sisi tuna do buz isay, Kama Mimi ninajikuta now a days, siishiwi na stress kuwaza the all days and night, ni jinsi gani nitaenuka mpaka niwe na ndoto Kama za prezoo. Nina hurstle vipoa ila buz imekuwa challenge kwangu, but still I work hard. So, nikipata promotion ka hii, actually huwa najihisi nimepata ngekewa,, Kama mlemavu aliezawadiwa magongo. Hivyo basi,, nitashkuru sana endapo nitapata msaada wa hiyo loan,, nitaifanyia kazi, kuhakikisha kwamba inagrow pia. Therefore.....I thanks wasee wangu wa SHUJAAZ na mesh.life altogether,, I say thank you for your promotion,, ONE LOVE ONE HURSTLE. NA KENYA ISONGE MBELE KIMAISHA NA HATA MAENDELEO. (KAMAZ£RLLY D@ D®N) B@RB£RSH®P MOMBASA/LIKONI KONA MPYA.