
Hustle yangu ni kuuza mayai na smokies na nkona baze ya fruits....mesh imeniokolea thru loans nikamanage kugrow biz yangu tu an extent iko fine. Usiwai give up na idea ukonayo. Msee anaeza vheki biz ya mayai aone nikama ni ya ufala but trust me hiyo ndo inaniboost until sai nalipa keja, nadunga thru iyo biz na still familia inadishi thru iyo biz. Ifea ukonayo put it into practice n utamanage
0
0
0