
I rememba Kuna mresh alikuja nimsuke. Nkajipanga na stuffs zangu nkamsuka style alitaka. Sa ikawa aende a withdraw pesa anilipe. Ile mpesa alienda ku withdraw Akaonyesha sms Tofauti ju simu ya mpesa ilikua off. Sasa unaonyesha tu sms. Loooo!! Akaosha iyo 1500 kwa mpesa.then akaniosha mm 1500. Nlikuwa rada from that time.💪💪
0
0
0