
Idea yangu nikuvisit mmbers ili shida zao zijulikane na tena kuinua kifeda ili kazi zao ziinuke ,pia ni swali ni kuwakama mie niko na talanta ya kunyoa pia mziki hapo ndo naulizia waezamzaidia vipi watu kama hizo ili wajulikane na kunufaika kama wengine,pia biz ninayo ni ya barber,chem applctn ,dye aplctn na pia talanta za mziki ,xi twaomba utuinue kwenda place za shows na pia kutoa funzo kwa wengine ili wajianzishie piz zao pia kujijenga kijamii.
0
0
0