
if msee anadai kuanza business ya kuuza viatu za luku both in retail na pia kuhawk kwa ma soko
for example nike shoes j4 and J3 converse
uta muadvice achukue stocka wapi coz i hear kuna viatu original na pia fake zenye zimetokea ambazo zinaharibika hataka juu si quality.




0
0
0