
Im young talented musician naitwa stage name yangre natoka Mata Wa south b Mi nikijana nimeyapitia nikaamkia kupiga shughuli mtaani, napiga vocals pia kwenye mic Mi ni ule Mzee ah my story ni short as in nimetoka family inabelieve being a musician ni wastage of time pia community haijakubali kabisa lkn mtaani Mi upiga shuguli si hapa na nimekuwa mistari wa mbele kuwakiliza vijana pia nimekuwa namotivate mavijana washale matabtab wafocus kwa kitu inaeza wasaidia OK nimetokea county#046 na park mtaa Wa south b napiga shuguli hapa na pale nikisuport vijana mtaani juu life imekuwa ngumu na vijana tusipozituma tutaangamia ile mbaya so tusipo jituma hakuna venye unaexa amka upate kakitu pia Mi udavice mavijana waache kubora wazee mtaani wizi ndogo ndogo na wajitume kusaidia maparo wakiwa youths juu ikifika time unajituma kutafutia familia hautaweza kuwasadia so earlier inakwaga ni poa ,na wen I figure out shida ya vijana wote duniani no same enda south Africa u end a Indonesia utapata life no hard kea vijana so tujitume tujinawao tukifanya hivo tutasadika kwa maisha Ana kisasi kijacho yang u ndio hayo nashukuru mesh nimejifunza mengi pia ntaendelea kuwakilisha vijana mtaani niite yangre