
It's a Make Money Monday 🤸🤸🤸🤸Niko na swali nimekuwa najiuliza for some time sasa🤔🤔🤔
Kuna wale customers wangu nikianzia biz walikuwa frequent sana 💪💪but after like five months hivi,wamekuwa wanakam but not as frequent as they used to,,,,💯
so ni wapi naweza kuwa nilimess ndio hawa wasee wangu wakaanza kulost hivo🤔🤔🤔 mnijenge advice bana👇👇👇#form ni kujengana 💯💯💯👇
0
0
0