
Kesho ni siku ya furaha MOTHERS DAY Nadai kila mesher ako ndani ya nyumba atume pale kwa comment advice ashawaipatiwa na mamake na ikamjenga Let''s go
MY MUM's advice : Raha na biashara ni kama mafuta na maji haziendani kabisa 💯
Tujengane watu wangu #Mesh #Hustle #Biz #Community
0
0
0