
KUCROSS'IANA NA LAW KWA BIZ
Ushatimuana na makarao juu ya practice kwa biz yenye wewe haukujua kama una break law? Kuna biz kadhaa zenye ni illegal and ni easy ku understand. Vitu ka madre na kuuza chang'aa 😂 hizi biz hazinaga license, but kuna vitu ka client ku download mp3 kwa comp za biz, kukutiliwa ukiplay local music kwa biz ata kama ni kwa phone, practice ambazo ni za udu' but zinaeza kuletea ngori noma sana.
Nimekuwa na experience kadhaa kwa biz yangu, mwanzo cyber biz, hii hustle iko na so many challenges and risk practices ambazo zinaeza hadi fanya u close biz kabisa some zinakaa so honest and good intentions. Moja yenye ishanicost ni phone repair by ROM installation and FRP Bypass. Hii ukuwa tricky juu saa ingine client anaeza kataa kuwa honest and hio phone ikuwe imegondiwa. Ingine nikupatikana na like scanned forged docs kwa comp yako. Unaeza hadi kuwa hauna clue and client akuje akushow u scan documents umtumie kwa mail ni job ana apply, hio doc ikiwe sio genuine. In an event ipatikane kwa comps zako TABU. Ingine ni watoi kupatikana wana play like games unafeel sio harmless but zenye ziko na rating higher. Pia kuna like kukosa sticker za ratings kwa movie.
Kumekuwa na policies kibao zenye zinalimit sana youth inclined biz, to an extent like kila SME ya youths iko na illegalities issue most. Tuchanuane hapa kwa comments section hizo issue and vile ya kuzi bypass. Najua kuchota ndio imekuwa easy way. And kama kawa kama dawa😂 group bonge ni BIZ 101 make sure umejoin. Hapa ndio zone ya kucreate platform ya #Tujijenge
#ShujaazBiz #YoutNaBiz #YoutNaGava