
Kuna time nilikua nauza mtumba wacha kanjo watokee na sikua na kitu ilibidi nitoke nisimame kando Kama sio zangu🤣 wakaulizwa Mara tatu mwenye hapa n nani ama tubebe twende nazo atakujia mwenyewe kwa ofisi zao..weeh kusikia hivyo ilibidi nijitokeze nkaombq mtu pesa ya kuwapea then wanaenda zao. Kanjo sometimes hukujia watu kama hujauza hata kidogo and I remember that season ilikua season ya mvua and ni soko ya jioni. Unaweka tu hivi even 1 hour haijaisha mvua ndio hiyo.🙆🙆 Sasa hapo the good solution is to murifee🤣 #MyKanjoStory
0
0
0