
Kuna wateja wengine hubai stuff kwako let's say iPods izi za china kumbe ako na yenye imebeat na alibai Kwa hawker mtaani Tu na juu zako ziko sealed there is no testing or anything msee Anaenda anaswitch anakusuka zenye zmechapa anabaki na zako zenye zinawork..wewe na uzuri unamwambia wacha Tu exchange na zingine unakua umeenda loss ingine mwenda videadly... Pia other items zenye unasell unaeza kua victim so the most basic thing ni you test the item with them akitoka Kwa shop ako guaranteed it's working
0
0
0