
Kwanza yangu ilihappen kitu wiki jamo hivi; So kuna jamaa alipose as a tenant akidai kurentisha 2bedroom mtaani so teketeke after kumuonyesha anabambika, nikamjenga contacts za mwenyewe wabonge. Kiasi ananishow anadai kuingia shokde so akaleta mamathe ati waoshe room. So ati tukitoa material flani zilikuwa huko ndani ananishow tenje yake imehang. Gen Z na ujuaji nikachangamka kuiangalia na ni ukweli ilikuwa imehang. So kiasi ananiomba yangu nimuokolee apigie mwenye ako na dooh amwakilishe malipo. So kiasi anadai kuendea hao mamathe Downy so nikaacha tu aende na tenje juu nilikuwa sure atarudi. The next day ndo ilituhit mimi na hao mamatha that tumengorwa mbwaya. Hivo ndo simu yangu ilisonga. As we speak skuizi naingia Mesh kwa cyber na bado siamini. Kaeni rada majamaa. Kwanza macaretaker.