
Mangai Sisi Firstborns ata hatukupewa Nafasi ya kuAbuse drugs and participate in immorality in our young age.
Utavurutaje bangi na ni wewe role model kwenu,wewe ndio kichwa ya train,ukipotea wenye wote wamekufuata wanapotea. Form two closing day wengine wakinunua masnacks firstborn ananunua sukari na unga ya chapat apeleke nyumbani nikama ametoka kazi saudi arabia.
And once a firstborn always a firstborn. Inafikanga mahali ata wazazi wako wanakuachia watoto uwalelee,makosa ikifanyika nyumbani unapigiwa simu "Hebu ongea na ndugu yako juu mimi nimechoka nayeye haniskii", miaka ikisonga kidogo unajipata unalea wazazi wako juu wamezeeka,na watoto wa wazazi wako or rather your siblings na pia watoto wako sasa wenye umezalisha. 3 diffrent age groups.
Mkiona john 11:35 ikisema jesus wept msidhani ni bibi alikuliwa,ni mambo aliona hii dunia buana. Ilifika mahali akaambia baba yake hawezani huku,akamwambia wacha nikuje binguni huku nitarudi kama mwizi.