Manze nakumbuka kuna time ilikuwa nianze kabiz bt sikuwa na dooh enough so nikasema nichukue loan nianze biz nitalipa manze kufika equity ety nijukue dooh jamaa nilibiwa siwez pewa dooh hadi ni lazima ni clear CRB status wee manze ivo ndo nilifail kuopen biz io time hadi nikajikaza nikajitoa CRB
0
0
0