
Manze nilikua niko msick so it happened sina ganji ya kulipia hosi then nikaona eei acha niingie kwa online lending institutions nipewe ata ka thao nibuyie dawa but unfortunately nilinyimwa kumbe back then kúna ka emergency kalikua so nilichukuanga ka soft loan na sikulipa ka punch ✊ ivi so iyo ilifanya kumbe nikaekwa CRB but siku notice juu line ilikua imechukua kalipoteanga manze tu avoid crb at all cost #CRBSrories
0
0
0