Marriage ni kitu poa but pia ni kitu mbaya,,marriage can bring happiness but also pain in your life,, nataka kuongea na wasee wako kwa marriage apo nje msipitie chenye nlipass through,,in life expect anything juu akuna kitu mgeni utapitia chenye watu hawajapitia,,,hasa kwa ma bro apa nje,sijui relationship yako iko ajy,jina i lv u isifanye ukosane na wenye mmegrow nao ama wenye wamekulea,msikosane na your lv uamue kutoka uende place ata hujui juu ya hasira na husemi uko wapi ama ujiue reasons ati hakupendi,, kuna wazazi wako wanakupenda kuna mabro na masiz wanakupenda kuna mabeshty wanakupenda y forget all that uamue kufanya kitu itawaacha na pain????lizama ujali life yako ni more important than anything else,ni poa kukaa chini na kuongea your differences ikishindikana sio end of life separate for your own peace of mind simind venye watu watasema liv your own life juu ukijiumiza watakucheka wakikuita mjinga,pia unapotaka kuoa usioe juu ya njaa kula ushibe kwanza,njaa isikudanganye unapenda mtu after kushiba u realise hakuna love,, thats life of today think about it