
#MeshChallenge.......ok mm ni IT by professional na pia Niko shop yangu at Kombani in Kwale County My best achievement of the week ni community work.... Ambayo for the last one month nimekuwa nachangisha used house i.e clothes,bags,shoes and kitchen utensils Challenge kubwa. Yenye nilipata nilitumana request ya food worth 57k kwa Mombasa cement but walinipa 2k tu Success behind hiyo achievement ni Allah (GOD) na community kuniamini na kunipa hizo items
0
0
0