
Mi naitwa Vin, mi bizz yangu ni ya kudrop mboga kwa Chuo zile ziko mtaa yangu,so kutoka Covid19 ikam mamboh ijakua poa pande yngu,juu kuna shule zilifungwa mpaka wa Leo zijai funguliwa na wengine walikua na deni kubwa ya almost one month,so na hustle to vile ntarudisha biz yngu ni changamke atilist nipate kakitu kaa kufid familia,poa sna kwa ku share ideas zenyu,na wathanks kabisa moral tutatoboa Covid19; and God bless all.
0
0
0