Mimi ni saloonist so wakati ii covid 19 iliingia nyumba yangu ya kazi iko na karoom kengine ka nyuma Mimi nilianza kurauka asubui na mapema ninachemusha mayai na ninasungusha asubui na majioni so nikawa Sasa naeza lipa nyumba na kusave kakitu kadogo ka kesho so sija sitrain much so stay with the people who can give you ideas great ness is our potion
0
0
0