
Mlisema Feb na March ni time ya madem ,,,,,as usual hapa @[Team MESH] walitambua sana wale sista zetu wenye wanachapa hustle zao na #kujituma bila kupima,,,,,,,,,
Leo niko hapa na challenge kwa #Meshers wenye wako kwa industry ya hospitality ama wale wanarun food places,,,,,, ,,,,,,,,,we are daring Team mesh to organize for a competition among us,,,,,,@caroline mumbua upoooo😅😅
0
0
0