
#MyFirst1k I remember nilikuà ndo naanza biz angu ya kufuga kuku na bata ilikua the year 2019 after kumaliza education yangu ya college...manze nilkua na najiuliza nipata wapi market ya hizi poultry then a friend of mine akakuja na i dea fiti nipost on my Facebook account kuku manze kuweka hivi hata haikupita 3 hours nikapata mteja wa kubuy kuku......na hapo ndo nilimek the first 1k... Kitu nilearn nikuwa usiwai givè up na usiwai chukia anyone ju kama hangekuwa huyo msee singepata customer wa kubuy kuku na vile hiyo time nilkua chini ju my mum alikua msick ile mbaya..,hapo ndo hio pesa ilinitoa kwa shimo ili niende nikalipe bill ya mum hosi....friends ni wase wazuri bora awe na positivity towards achieving something.....,
0
0
0