
#MyKanjoStory......... Ilikua some fees ago pale Kwa soko ya ocha, nlikua na ngunia langu LA sukuma, kufika soko ni ngwale coz it's all about first come first serve, noma ilikua lazima nilipie ticket ya 70bob na mfuko nlikua na thate30,,, jamaa akanikujia na kisirani hata hataki kuskia ati kwanza niuze sukuma zangu alafu nimlipe baden, Maze God naye ninani, jamaa Fulani nlikua nimempiga order ya carrots akanirushia 4so Kwa mpesa,, utajiri ukanipanda kichwa 😂😂,nkaita huyo jamaa kama mtoi wa nursery nkamlipa 70bob zake na nikamshow usiwai dhalau mtu sababu Hana coz hujui God amempangia yepi... Since that day nkaamua kuto rush kufanya jambo lolote ila subra ikiwa mwandani wangu... #MyKanjoStory #Iposiku #MesherForever
0
0
0