
Na mchunge sana nani mnajifananisha nao hapa nje. Some of these people are not as hardworking as you,their money comes from your work,yani unafanya kazi wanakuibia. Others earn in euros and spend in Kes. Others come from families who own schools,hospitals,Estates and factories,watu ikisemekana ni kuachiwa inheritance lawyer anatoka joburg South Africa,huko ndio office yake iko. Sasa wewe kinyanjui from njomoko,ulikuja nairobi university unataka kujifananisha na hii watu? With your 35k salary? You will see bad things my friend. Apana shindana na ndovu kukumia buana.
And me,I am friends with very liquid punks,tunapatananga kule kwa golf,kizungu nanyoroshanga namna atari sana. Lakini sinanga any! Im there for their mentally unstable women who enjoy my poverty inspired jokes combined with my self taught Interior designing skills including the popular Kamìa ngùku style. Kuna wengine apa niliona wanapanga road trip mozambique,nikapiga hesabu namna hii nikaona kuteremka pekee yake,mafuta nì kitu 120 sausand. So each if them had a budget of around 700k. Na wakaniuliza if I wanr to join them,weh! Nikaona hapa sasa vile iko,niko katika hali ya hatari,ata naweza kufa. Nikawaambia nyanya yangu ameumwa na nyoka kule kijiji,amesema niende nimsaidie kulinda boma. If you do not earn like them don’t spend like them aisee!